Monday, October 29, 2012

SHERIA ZETU NA WALEMAVU




THE SUMATRA (TECHNICAL SAFETY AND QUALITY OF SERVICE STANDARD) (PASSENGER VEHICLES) RULES , 2008.

(Safety requirements)
5 – (1) Subject to rule 4, every owner of passenger vehicle who apply to provide passenger services shall ensure that:-
(h) The vehicle is fitted with facilities to assist passengers with disabilities.


SHERIA YA SUMATRA KUHUSU KANUNI NA TARATIBU ZA VYOMBO  KUBEBEA ABIRIA, 2008
(Maelekezo ya kiusalama)
5 – (1) Kwa mujibu wa kanuni ya 4, kila mmiliki wa chombo cha abiria atakayeomba kutoa huduma ya kubeba abiria, atatakiwa kuzingatia yafuatayo:-
(h) Chombo kimewekewa nyezo/ vifaa vya kuwasaidia watu wenye ulemavu mbalimbali.

Swali la kujiuliza ni je sheria hii inazingatiwa ipasavyo?
Chukua taswira ya mabasi yetu ya abiria, kuanzia yale yaendayo mikoani mpaka daladala zetu!
Watanzania tunashindwa wapi katika hili? Nikweli tunahitaji wawekezaji au wafadhili katika hili?
Tafakari kwa kina, tumia busara katika kuchukua hatua! Tanzania ni yetu sote, na kila mtu atimize wajibu wake kwa nafasi yake.
Sheria hii inapatikana katika Wavuti ufatao:
http://www.sumatra.or.tz/

Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
YOUR ADSENSE CODE GOES HERE

2 comments:

Anonymous said...

Persons With Disability Act, 2010 clearly stipulate that Public transport, roads and streets should be accessible for persons with disabilities, but it is always difficult as usual when it comes to implementation...

Disability in Tanzania on November 9, 2012 at 12:31 AM said...

Sure that!what we need is to collectively raise our voices so as to make them heard. But before that happens we every one has to internalize the MAHATMA GANDHI words: 'You must be the change you wish to see in the world.'

Post a Comment

 

| DISABILITY IN TANZANIA INFORMATION PLATFORM © 2012. All Rights Reserved |Designed by MIRAMBO GROUP | Back To Top |