Tuesday, January 22, 2013

CHANGE OF NAME

0 comments


23rd January 2013

Dear Partners and Stakeholders;

Greetings and Happy New Year 2013

I would like to let you know of change of our name and logo from SHIA to MYRIGHT - EMPOWERS PEOPLE WITH DISABILITIES.
The new name is based on some of values which are reflecting the organization and how the organization wants to be looked upon in the future.  

When writing a name in a text we use only MyRight with capital M and R
However the mission and vision have remained the same and our focus to support the work of our partners for increased rights, equality and inclusion.

Thank you for your cooperation throughout year 2012 and looking forward continue working with you on 2013

With Regards;

Neema Seya
Country Coordinator - Operations
MyRight - Tanzania.


Mwinjuma Rd - Komakoma Area; House No 2; Block 30D, Mwananyamala
P.O. BOX 31676, Dar es Salaam - Tanzania.
Read More ->>

FID Q: ASANTE SANA TAASISI YA UNDER THE SAME SUN KWA KUNITUNUKU TUZO

0 comments




Msanii wa Hip Hop kutoka Mwanza City Fareed Kubanda a.k.a Fid Q leo kupitia katika akaunti yake facebook aliweza kupost picha ambayo akiwa na Mr Peter ambaye ni Mwanzishi na Mwenyekiti Mtendaji wa shirika hilo nchini Canada"Under The Same Sun"ambalo linahusiana na kutetea haki ya watu wenye ulemavu wa ngozi,albino nchini.
Taasisi hiyo imemtunuku rapper Fareed Kubanda kwa mchango wake mkubwa katika kampeni la shirika hilo.

Huu ndiyo ujumbe kutoka katika akaunti ya Fareed Kubanda baada ya kupokea Cheti hicho kutoka kwa Mr Peter.


Read More ->>
 

| DISABILITY IN TANZANIA INFORMATION PLATFORM © 2012. All Rights Reserved |Designed by MIRAMBO GROUP | Back To Top |