Tuesday, January 22, 2013

FID Q: ASANTE SANA TAASISI YA UNDER THE SAME SUN KWA KUNITUNUKU TUZO






Msanii wa Hip Hop kutoka Mwanza City Fareed Kubanda a.k.a Fid Q leo kupitia katika akaunti yake facebook aliweza kupost picha ambayo akiwa na Mr Peter ambaye ni Mwanzishi na Mwenyekiti Mtendaji wa shirika hilo nchini Canada"Under The Same Sun"ambalo linahusiana na kutetea haki ya watu wenye ulemavu wa ngozi,albino nchini.
Taasisi hiyo imemtunuku rapper Fareed Kubanda kwa mchango wake mkubwa katika kampeni la shirika hilo.

Huu ndiyo ujumbe kutoka katika akaunti ya Fareed Kubanda baada ya kupokea Cheti hicho kutoka kwa Mr Peter.



Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
YOUR ADSENSE CODE GOES HERE

0 comments:

Post a Comment

 

| DISABILITY IN TANZANIA INFORMATION PLATFORM © 2012. All Rights Reserved |Designed by MIRAMBO GROUP | Back To Top |