Sunday, April 14, 2013

UBINAFSI WAMKERA MGOSI CHACHA

4 comments


Naitwa Mgosi Chacha, naishi Musoma mjini katika mtaa wa mkendo. Nina ulemavu wa viungo, kwasasa sijafanikiwa kuwa na familia bado natafuta maisha.

Nilizaliwa nikiwa mzima kama watu wengine, ila baada ya kufikisha umri wa miaka miwili nilipatwa na maradhi ya kienyeji, ambayo kimira yalikua kama miiko kwetu. Baba alikutana na vitu flani ambavyo ni miiko kimira, kwahiyo mi nilipozaliwa ndo nikapatwa na hayo maradhi. Baba na mama walikosa ushirikiano katika swala zima la kuniuguza mimi, hii ilimpelekea mama kunihudumia jinsi anavojua mwenyewe hatimaye ndo nikapata ulemavu.
Changamoto kubwa ninayo kumbananayo ni ubinafsi uliojikita katika jamii. Kwamfano mtu kama mimi nina elimu ya ufundi (welder) na nimesoma chuo kabisa, lakini nikifika ofisini kwa mtu kuomba kazi sipewi kazi. Nakataliwa na kutimuliwa katika mazingira yao, pamoja na kuwaonesha vyeti vyangu kama uthibitisho wa uwezo wangu katika kuifanya kazi hiyo. Nikutokana na hali ya ulemavu nilionao jamii hunichukulia kama mtu asiyeweza kufanya kazi. Na hii ndo ilinipelekea kuamua kujiajiri na kufanya kazi ya kushona viatu.
Naishauri jamii kutuangalia sana sisi watu wenye ulemavu na wasitutenge sababu kulemaa viungo sio kulemaa kila kitu cha mwili wako. Jamii ijitahidi kuwa karibu sana na sisi kwasababu sisi ni kama wao na wao nikama sisi.
Nawashauri watu wenye ulemavu kuondoa ile kasumba ya kutokutaka kujitegemea kwasababu ya ulemavu walionao. Mlemavu anawezakuwa na familia na akategemewa kama watu wengine. Mlemavu sio mtu wa kutegemewa kusaidiwa kwa kila kitu, inabidi kujisaidia wakati mwingine. Ukiwa umelemaa viungo tu na unaakili ya kukuongoza katika mambo mengine kwanini usijitegemee?
Naona kwa wakati huu serikali imeanza kutupa matumaini ya kutukumbuka, hapo awali tulikuwa tumesahaulika kabisa. Nashauri serikali kuziboresha ofisi zake ili ziweze kufikika na watu wa aina zote pasipo kuwabagua watu wenye ulemavu (hususani walemavu wa viungo). Hii itatuondolea ile adha ya kuwaagiza watu wakatuzungumzie haja zetu na badala yake tutaweza kujieleza wenyewe.
Mashirika ya watu binafsi kidogo wana uelewa, hata wakiamua kufanya kitu wanakifanya kwa kuzingatia maoni ya wadau mbalimbali. Nayashauri mashirika na taasisi mbalimbali kushiriki katika kuhakikisha walemavu mbalimbali (ambao wengi wao hawana elimu) wanapatiwa haki zao za msingi.
Read More ->>

Tuesday, April 9, 2013

A POEM ABOUT ATAPIM

2 comments


Atapim was born war.
He looses his sight before he could see,
He loses his legs before he could walk,
He loses his hand before he could touch,
He loses his teeth before he could bite,
Disability was everything to him and he was everything to disability in him
When we eat we hide him
When we were traveling we left him
When we shared some jokes we despised him
When we watched our nature we rejected him
When we were reading we spat on him
Ohh Atapim - He wondered
He scavenged for food when we threw it
Disability was everything to him and he was everything to disability in him 
We never knew that
Atapim had rights like ours
He should learn like us
He should eat like us and with us
He should travel like us
He should crack jokes like us
He should be given shelter just like us
He should be loved like us
Ooh my Atapim,
Disability was everything to him and he was everything to disability in him

We should report those who hide Atapim
We should report those who hate people like him
We should report those who spat on people like him
We should report those who despised people like him
Oh, my Atapim
Disability was everything to him and he was everything to disability in him

After all this Atapim was not his wish or his plan
It was not his ambition to be born this way
To live in this miserable life
If disability was a coat I would take it off
Read More ->>

Tuesday, April 2, 2013

GOOD NEWS TO VISUALY IMPAIRED PEOPLE AND PWDs STAKEHOLDERS

1 comments


Echolocation: The ability to "SEE" objects using sound instead of sight.

Echolocation is a fundamentally simple skill that many blind people use daily to navigate and understand their environment. This skill is sometimes misunderstood, but it’s far more realistic and much easier than you may think.
The author demystifies the growing practice of active echolocation in a way that anyone can understand, and gives the reader simple exercises, examples, and lessons as a starting point for launching you into a successful practice of active echolocation.
Sound waves – like ripples in a pond – reflect differently off of all objects and surfaces. This makes it possible for the trained ear to distinguish shape, size, distance and material of our surroundings. Musicians will tell you that “reverb” causes each room or surface to have its own unique sound response. With sensitization and applied practice of this skill, it’s possible for people with visual impairments all over the world to become increasingly independent, supplementing their existing forms of orientation and mobility with the intrinsic awareness that echolocation can provide.
Echolocation requires no special equipment nor any special talent. The human body and mind are truly marvels of nature that grant us with capabilities you may never know you had. If you can hear, you can echolocate.
Understanding the simplicity of this skill will allow you to shift your way of thinking to accommodate an expanded awareness of your environment. With this awareness comes independence, confidence, new possibilities and new opportunities.
For more details visit: 
http://www.amazon.com/Beginners-Guide-Echolocation-Visually-Impaired/dp/1480153516/
Read More ->>

Wednesday, March 20, 2013

INNER FEELING FROM HUSNA SELUNGWI ABOUT TRACED WORK IN TANZANIA

0 comments


Please, I will not treat fairly Madam Husna Selungwi if I kept quite not forwarding her words of thanks and appreciation to you all.

I think this is my first time to have this news and I would like you all to go through and be in touch direct to Madam Husna Selungwi who is now working with SOS in Zanzibar. You can get a lot from her.

Be Blessings All who you are enabling the Children with Disabilities (CWDs) change their Lifes and Meet their DREAMS. ERIKS deserve big FOURS.

You are all welcome and join us in this Noble Work as commended by Madam Husna Selungwi the former TRACED Project Coordinator in Dsm.

Yours faithfully,

Mr R.Y. Mbonia,
For TRACED
Read More ->>
 

| DISABILITY IN TANZANIA INFORMATION PLATFORM © 2012. All Rights Reserved |Designed by MIRAMBO GROUP | Back To Top |