Tuesday, September 17, 2013

TELEVISHENI KUTOKUA NA WAKALIMANI WA LUGHA ZA ALAMA NI UVUNJAJI WA SHERIA: DOLASED





Mkurugenzi  Mtendaji  wa Taasisi ya isiyo ya kiserikali inayoshughulikia masuala ya haki  za kisheria ,maendeleo ya jamii na kiuchumi(DOLASED), Gidion Mandesi(kulia) akifafanua Sheria  ya Watu Wenye Ulemavu namba 55(1) ya mwaka 2010 na mtazamo wake juu vyombo vya habari hususani televisheni vinavyotakiwa kuweka wakalimani kwa ajili ya taarifa ya habari na matukio mengine ya kitaifa ili viziwi waweze kupata taarifa, kulia   ni mwandishi wa habari wa gazeti la majira , David John.


Picha kwa hisani ya Social Work Club.
 


Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
YOUR ADSENSE CODE GOES HERE

0 comments:

Post a Comment

 

| DISABILITY IN TANZANIA INFORMATION PLATFORM © 2012. All Rights Reserved |Designed by MIRAMBO GROUP | Back To Top |